Kenyan Lyrics
Monday, October 18, 2010
Kialewen Atonone Lyrics by Emmy Kosgei
Intro:
Kialewen ane, atonone rwandet
rwandanoto ko jesu, ye maitundumoksei X2
Chorus:
Kialewen ane, atonone rwandet
rwandanoto ko jesu, ye maitundumoksei X2
Verse 1:
Ingabwa danieli,kiboityotab jehovah
kigiwirchi keringet, keringetab ngetunyi
Kisoe inendet, ngetunyna nebo juda
Ago ng'etunyi, komaitundumi rwandanita
(Chorus)
verse 2:
ingabwat agobo shadrak, meshak ak abednego
kigiwirchi maat, maat ne kilaale iman
kisoe Jehova, eng maat ne kilaale iman
Ago nemalalei, komaitumduni.
(chorus)
Verse 3:
Jesu weritab Jehova, kigiigartat nebo iman
Kiinege kiireri, betusiek somok
Koging'eet jehova nenyu, kiiterer kereritab meet
Agot kereri, komaitundumi rwandanito
Kimurtoiyot,kimurtoiyot nebo Jesu
Noto long'ennyu, noto ko toloitanyu
(chorus)
Taunet ne Leel by Emmy Kosgei
Mmmmmmm eeeeeh wo! Ahh
Verse 1:
Taunet ne leel, kabwate ne leel
Ogeero, Ayai che leelach
Ame gus kong, ameee ker emet
Ogeero Haiy ay ay ay
Chorus
Taunet ne leel(taunet ne leel)
kabwate ne leel (ne leel ne leel)
Ogeero, Ayai (haiya haiya) che leelach
Ame gus kong (ame gus kong)
ameee ker emet(ne leel ne leel)
Ogeero ayae che leelach
Verse 2:
Ame ger emet eng tuguk chebo tai,
Ame ngo memo, eng tuguk che kigo sirto,
Awale rireeguk, koyeech boiboiyet,
Keero, haiya, haiya ya ya
(chorus)
Verse 3:
Ayae oret eng ng'ong'atet, ak eng beek che kiime
Alititiin (?) komoswek che kunure
Atunotunii kereiwetab sugononetab kurgotik
Atilatili temeleiwek(?) chebo gari
(chorus)
Verse 4:
Ak agonok betusiekab kamunget,
Abeerurin iyate ngung'engung' komugul
kimwa nebo keny, masire mia nyoetab kaat
Aa Jehova, noto kainet!
(Chorus)
Friday, August 7, 2009
Rose Muhando Nibebe lyrics
(chorus)
Nibebe nibebe nibebe nibebe
Nibembeleze nibebe
Nichukue unibebe
Mikononi mwako niwe salama
(verse1)
E mungu angalia kunena kwangu,
Na usikie sauti ya kilio changu
Moyo wangu umechoka sana baba,
Kwa ajili ya wingi wa mateso yangu
Nafsi yangu imegandamana na mavumbi
Niokoe mikononi mwa midomo ya mbwa
Kwanini ninateswa sana kwa ajili yako babaga
Niokoe mikononi mwa watu wabaya
fanya hima unisaidie nibebe
Chorus
Nimechoka peke yangu safari ngumu no ndefu nibebe
chorus
(verse 2)
Macho yangu yamedhoofukwa machozi
Kwani mateso yangu hayapimiki kwa mizani
Kwa kuwa aliyenitukana siye adui yangu
bali ni rafiki yangu tuliyejuana naye sana
Tulikula pamoja, tulisali pamoja, kanisani pamoja
Bwana asifiwe kwa sana
Kumbe mwenzangu alikusudia kuniangamiza
chorus
Kweli nimeamini adui wa kwanza ni yule wa nyumbani mwako
chorus
(verse 3)
Wengine wakinibeba nitaambulia matatizo, yesu nibebe
Dunia ikinibeba itanipeleka jehanamu, yesu nibebe
Marafiki wakinibeba watanipeleka pabaya, yesu nibebe
Baba nibebe, yesu nibebe,
Nibembeleze nibebe, nichukue mbiguni salama
chorus
Nimechoka pekee yangu safari ngumu siwezi
chorus
(verse 4)
Nifike mbinguni nimwone Eliya (Amen)
Nifike mbinguni nimwone Yakobo (Amen)
pamoja na kiti cha enzi mbinguni kwa baba
Njia za dhahabu nami nakatembelee
O baba nibebe, yesu nibebe,
Nibembeleze nibebe, nichukue mbiguni salama
chorus
Nakwita Yesu unibebe mwokozi
Chorus
(verse 5)
Nifike mbinguni nikamwone baba (Amen)
Nifike mbinguni nakapumzike (Amen)
Katika kiti cha enzi nami nikasujudie
Niwaone wenzangu wale walionitangulia
Nikale matunda ya mti wa uzima
Yesu nibebe, baba nibebe,
Nibembeleze nibebe nichukue mbiguni salama
Chorus
Fade
Nibebe nibebe nibebe nibebe
Nibembeleze nibebe
Nichukue unibebe
Mikononi mwako niwe salama
(verse1)
E mungu angalia kunena kwangu,
Na usikie sauti ya kilio changu
Moyo wangu umechoka sana baba,
Kwa ajili ya wingi wa mateso yangu
Nafsi yangu imegandamana na mavumbi
Niokoe mikononi mwa midomo ya mbwa
Kwanini ninateswa sana kwa ajili yako babaga
Niokoe mikononi mwa watu wabaya
fanya hima unisaidie nibebe
Chorus
Nimechoka peke yangu safari ngumu no ndefu nibebe
chorus
(verse 2)
Macho yangu yamedhoofukwa machozi
Kwani mateso yangu hayapimiki kwa mizani
Kwa kuwa aliyenitukana siye adui yangu
bali ni rafiki yangu tuliyejuana naye sana
Tulikula pamoja, tulisali pamoja, kanisani pamoja
Bwana asifiwe kwa sana
Kumbe mwenzangu alikusudia kuniangamiza
chorus
Kweli nimeamini adui wa kwanza ni yule wa nyumbani mwako
chorus
(verse 3)
Wengine wakinibeba nitaambulia matatizo, yesu nibebe
Dunia ikinibeba itanipeleka jehanamu, yesu nibebe
Marafiki wakinibeba watanipeleka pabaya, yesu nibebe
Baba nibebe, yesu nibebe,
Nibembeleze nibebe, nichukue mbiguni salama
chorus
Nimechoka pekee yangu safari ngumu siwezi
chorus
(verse 4)
Nifike mbinguni nimwone Eliya (Amen)
Nifike mbinguni nimwone Yakobo (Amen)
pamoja na kiti cha enzi mbinguni kwa baba
Njia za dhahabu nami nakatembelee
O baba nibebe, yesu nibebe,
Nibembeleze nibebe, nichukue mbiguni salama
chorus
Nakwita Yesu unibebe mwokozi
Chorus
(verse 5)
Nifike mbinguni nikamwone baba (Amen)
Nifike mbinguni nakapumzike (Amen)
Katika kiti cha enzi nami nikasujudie
Niwaone wenzangu wale walionitangulia
Nikale matunda ya mti wa uzima
Yesu nibebe, baba nibebe,
Nibembeleze nibebe nichukue mbiguni salama
Chorus
Fade
Sunday, May 31, 2009
Ngeli ya genge by Jua Cali
>
KENYAN LYRICS
NGELI YA GENGE BY JUA CALI
LYRICS
Hapa tunacheza na maneno ehh
ngeli ya genge!
Naandika hii verse kaa niko na njaa,
Naenda kupika bila makaa,
Nawaita na mnakataa
Mnasema kanisa ina mavijana
Kushiba ni baada ya sala
Kuiba nayo siku hizi ni balaa
Utageuzwa kima namakusaga
Pika iive tunamanga
Skuma chumvi na kauganga
Chuma ngumi teke kadhaa
Boxer vumbi na makambaa
Toka nyuki asaki chang'aa
koma kumi utashangaa
Ama stima zitazima
Twende kwa kina farida
Jekke na kwa mafinger
Chorus x2
Nataka ukae poa ka akina
Fajia, halima na Eva
watoto wazuri ***
Ndoto nzuri huisha
Ka ume*** Zote kabisa
Ukasanya moto ukapatia
bahati mbaya ukashikwa
Mabati waya ukapigwa
Mashati za wanga zikaishia
Chukua zingine Uanze kupima
Vua pengine ni ya Peter
Beste yangu mtu wa shida
Hii mete ni yangu we tuliza
Unajua kifisi na hujaalikwa
Unapokea dishi na haijapikwa
Chakula ni mbichi na haijaiva
Tuma sister eastleigh manjiva
Lakini chunga vile atajivaa
Chorus x2
Mami nichuja na adida
Ma g-string shuka na ma***
Mambuyu kwao ni kushangaa
Dudu zao zinaamka
Njugu kibao wanatafuna
Mamadha huku wanashtuka
Hanya huyu utajuta
Kama sumu inaua
Maziwa iko tutakunywa
Kama njumu zinatupa
Kabisa tutakataa kuvua
matope kila mahali panguza
Polepole ngazi tunashuka
Pole kakazi yasumbua
Mwisho ganje itaiingia
Vitisho wangapi watasikia
Nenge damu eeh
california Au sio
Chorus x4
Beat ya Clemo, genge x2
If you have any lyrics requests, kindly leave a note thank you
Subscribe to:
Posts (Atom)